Thursday, November 26, 2009

Jinsi nyasi zilivyochimbika jana, ligi ya Mabingwa Ulaya

Ji-Sung Park (katikati) wa Manchester United akichuana na mchezaji wa Besiktas, Fabian Ernst (kushoto) na Ibrahim Toraman wakati wa mechi ya michuano ya Ligi ya Mabingwa mjini Manchester, jana.
Mchezaji wa Chelsea, Drogba (kulia) akiwatoka Alvaro Pereira na Raul Meireles (nyuma) wa Porto katika mechi ya Ligi ya Mabingwa mjini Porto jana.

Diego Forlan (kulia) wa Atletico Madrid akiwania mpira na mchezaji wa APOEL Nicosia, Savvas Poursaitides katika mechi ya Ligi ya Mabingwa kwenye dimba la GSP mjini Nicosia jana.

Mchezaji wa Real Madrid, Kaka akikimbia na mpira huku mchezaji wa FC Zurich, Alain Rochat wakati wa michuano ya Ligi ya Mabingwa mjini Madrid jana.
Pato wa AC Milan (katikati) akichuana na wachezaji wa Olympique Marseille, Edouard Cisse (kulia) na Gabriel Heinze wakati mechi ya Ligi ya Mabingwa huko San Siro mjini Milan jana. Picha zote na REUTERS

No comments:

Post a Comment