Tuesday, November 17, 2009

Namba ya Papic ya uanachama ni 7696

KOCHA mkuu wa Yanga, Kostadin Papic amechukua kadi ya uanachama wa klabu hiyo, ambapo anatarajiwa kukabidhiwa kadi yake mara atakaporejea kutoka Serbia alipokwenda kwa ajili ya mapumziko mafupi.

No comments:

Post a Comment