Kipa wa timu ya Sofapaka, Wilson Obungu akiwapigia kelele wachezaji wenzake wakati wa mechi ya fainali hizo.
Mshambuliaji wa pembeni wa Yanga, Mrisho Ngassa akiwatoka wachezaji wa Sofapaka.
Mshambuliaji wa pembeni wa Yanga, Mrisho Ngassa akiwatoka wachezaji wa Sofapaka.
Baadhi ya wachezaji wa Yanga, wakiwa wamembeba kocha wao, Kostadin Papic mara baada ya kuchukua ubingwa jana.
Mshambuliaji wa Yanga, Jerry Tegete akionyesha kikombe juu baada ya kuzawadia alipoibuka kuwa mfungaji bora kwenye michuano hiyo. Pia mchezaji huyo alipewa dola 2,000.
No comments:
Post a Comment