
Mechi hiyo ya nusu fainali ya pili ya michuano ya Kombe la Tusker inatarajia kufanyika kwenye uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Hata hivyo, inasemekana kuwa huenda Yanga ikamkosa mchezaji wake mmoja Stevin Bengo wa Uganda, ambaye yuko kwao kutokana na kuumwa.
No comments:
Post a Comment