Sunday, November 29, 2009

CHELSEA YAICHAMBUA ARSENAL

LONDON, England
Chelsea bado imeendelea kuongoza kwa pointi tano kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu ya England na kupunguza makali ya baadhi ya timu zinazoifukuza katika kinyang'anyiro hicho baada ya kuibuka na ushindi wa bao 3-0 ugenini kwenye uwanja wa Emirates na kuiacha Arsenal ikiwa nyuma kwa pointi 11.

No comments:

Post a Comment