Friday, November 20, 2009

Shamrashamra za Kombe la Dunia uwanja wa Taifa

Anko Faustine naye alikuwepo kwa ajili ya kuripoti kwenye gazeti la Nipashe
Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni na Michezo, Joel Bendera (katikati) akiteta jambo na Rais wa Jamhuri ya Muungano, Jakaya Mrisho Kikwete (kulia). Kushoto, ni Rais wa Shirikisho la Soka nchini, TFF, Leodgar Tenga.

Msafara wa pikipiki ukiingia kwenye uwanja wa Taifa.


Helikopta iliyokuwa inalinda usalama wa Kombe la Dunia, ikirandaranda maeneo ya uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.



Screen ya uwanja mpya wa Taifa ikionyesha jinsi ndege iliyobeba kombe la Dunia inavyotua.

No comments:

Post a Comment