Friday, November 20, 2009

Utamu wa Kombe la Dunia

Rais, Jakaya Kikwete akihutubia mara baada ya kuwasili kwa kombe la Dunia jana.
Haya na huyu kaka wa Alasiri, Daniel Mkate alikuwepo kwenye hafla hiyo iliyofanyika kwenye uwanja huo. Kasoro mimi tu sikuhudhuria.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete (katikati) akitaka kumpa Kombe la Dunia mke wake, Salma Kikwete wakati wa hafla hiyo iliyofanyika kwenye uwanja wa Taifa. Hata imefahamika kuwa kombe hilo halilihusiwi kushikwa na mtu mwingine zaidi ya Rais wa nchi.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete (katikati) akiwa na Kombe la Dunia, wakati wa shamrashamra zilizofanyika jana kwenye uwanja wa Taifa, Dar.

No comments:

Post a Comment