Wednesday, December 2, 2009

Baadhi ya wachezaji waliosajiliwa kwenye dirisha dogo la usajili wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara

Nadir Haroub 'Canavaro' mchezaji ambaye alikuwa anachezea White Caps Vancouver ya Canada lakini kwa sasa amesajiliwa tena kwenye klabu yake ya zamani ya Yanga aliyokuwa anaichezea kabla ya kwenda Canada.
Baada ya kuichezea Yanga na kutemwa, akaenda Kagera Sugar na hatimaye sasa hivi ameangukia mikononi mwa maafande wa Prisons ya Mbeya.



No comments:

Post a Comment