Tuesday, December 1, 2009

Ngassa aifutia aibu Stars

Winga mshambuliaji Mrisho Ngassa aliitoa aibu timu ya taifa 'Taifa Stars' baada ya kuifungia bao tamu katika dakika ya 18 dhidi ya Zanzibar Herous katika mechi ya michuano ya kombe la Chalenji inayoendelea mjini Nairobi, Kenya.

No comments:

Post a Comment